Dar es Salaam, Serikali imemwagiza Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Serikali kukagua Bodi ya Sukari ili kubaini kama kuna
aliyehusika kutoa kibali cha kuagiza sukari kutoka nje kwa mwaka
2013/14.
Kauli ya Serikali imekuja siku chache baada ya
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe
kusema kuwa ataanza...
Jumamosi, 13 Desemba 2014
Karatasi za kupigia kura zanaswa D’Salaam
Unknown 23:08
Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman
Kova akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika kesho nchini kote.
Picha na Venance Nestory .
Na Ibrahim Yamola na Kelvin Matandiko, Mwananchi
Dar es Salaam. Wakati Uchaguzi wa Serikali...
Al-Bashir Asema Ameishinda ICC
Unknown 12:06
Rais Omar al-Bashir wa Sudan amedai ushindi katika mvutano wake na
Mahakama ya Jinai ya Kimataifa, ICC, baada ya mkuu wa mashtaka wa ICC,
Fatou Bensouda, kusimamisha uchunguzi kuhusu madai ya uhalifu wa vitani
katika jimbo la Darfur.
Rais Bashir, ambaye alishtakiwa kwa mauaji
ya kikabila mwaka wa 2009, alisema ICC imeshindwa katika kile
alichoeleza kuwa juhudi za ICC za kuiaibisha Sudan.
Alisema wananchi wameamua kuwa afisa yoyote wa Sudan...
Mahujaji Milioni 17 Wakusanyika Karbala
Unknown 11:49
Mamilioni ya mahujaji wa Kishia wamemiminika katika mji wa Karbala,
Iraq, kwa ibada ya kila mwaka ya Arbaeen ingawa kuna tishio la
mashambulio ya wapiganaji wa madhehebu ya Sunni wa Islamic State.
Wakuu wa Iraq wanasema mahujaji zaidi ya milioni 17 wamekusanyika Karbala kuhudhuria Arbaeen.
Picha
zilizopigwa kutoka angani zinaonesha barabara zinazoelekea Karbala kama
mito ya watu waliovaa nguo nyeusi, hadi upeo wa macho.
Na kuna wasiwasi...
Maelfu Waandamana Washington na New York
Unknown 11:48
Maelfu ya watu waandamana leo katika bara-bara za miji ya
Washington na New York kupinga mauaji ya wanaume weusi wasiokuwa na
silaha yaliyofanywa na polisi wa Marekani, ili kulitaka bunge lilinde
wananchi.
Taarifa iliyotolewa na kiongozi wa kutetea haki za raia,
Al Sharpton, ilieleza kuwa bunge linahitaji kuchukua hatua kubadilisha
sheria na hali bara-barani.
Kati...
Hafla ya kukabidhi Mgodi wa Resolute kwa Chuo cha Madini Dodoma
Unknown 11:04
.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini
anayeshughulikia Madini, Mhe Stephen Masele (aliyesimama katikati na pama) akishuhudia
halfa fupi ya kusaini makabidhiano ya eneo la Mgodi wa Resolute kwa Chuo cha
Madini Dodoma. Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Chuo cha Madini Dodoma, Mjiolojia Mwandamizi Subian
Chiragwile, katikati ni Kaimu Kamishna wa Madini Mhandisi Ally...
RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PIL,ALHAJ MWINYI ATEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA NSSF JIJINI DAR LEO
Unknown 10:57
Rais Mstaafu wa awamu ya pili nchini Tanzania,Alhaj Ali Hassan Mwinyi ametembelea miradi mbalimbali ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ambapo
aliweza kutembelea na kuangalia maendeleo ya ujenzi wa daraja la
Kigamboni, daraja ambalo linategemea kukamilika mwezi wa saba mwaka 2015
na vilevile amepata nafasi ya kutembelea Ujenzi wa nyumba za shirika...