Ijumaa, 30 Mei 2014

Picha za mume wa msanii Recho, George Saguda akiwa na simanzi baada ya kumpoteza mkewe na mtoto


Mume wa marehemu Recho, George Saguda,akiwa na simanzi nzito kufuatia kifo cha mkewe  na  mtoto.
 
 Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho'
Msanii  Rachel  Haule  katika  enzi  za  uhai  wake

0 maoni:

Chapisha Maoni