Taarifa iliyotolewa na kiongozi wa kutetea haki za raia,
Al Sharpton, ilieleza kuwa bunge linahitaji kuchukua hatua kubadilisha
sheria na hali bara-barani.
Kati ya wataohudhuria maandamano hayo ni familia za Michael Brown, kijana aliyeuwawa katika jimbo la Missouri, na Eric Garner, ambaye alikufa wakati anakamatwa mjini New York.
Kesi za askari polisi waliohusika na vifo hivyo zilifutwa na kuzusha maandamano kote Marekani.
Kati ya wataohudhuria maandamano hayo ni familia za Michael Brown, kijana aliyeuwawa katika jimbo la Missouri, na Eric Garner, ambaye alikufa wakati anakamatwa mjini New York.
Kesi za askari polisi waliohusika na vifo hivyo zilifutwa na kuzusha maandamano kote Marekani.
.Juu ni picha za marehemu waliouawa kutoka kwa polisi nchini Marekani
Waandamanaji wakiendelea kupinga mauaji juu yao nchini Marekani.
Hapa inaonyesha Dunia haiwezi kukwepa desturi yake. Mara nyingi vitabu vya dini vimekuwa vikiandika kuwa binadamu wote ni sawa, lakini kwa miaka mingi sasa mwanadamu kuwa mweusi au hata kama atakuwa mweupe lakini asili yake ni Afrika amekaaliwa na mataifa ambayo watu wao wanadhani dunia hii iliumbwa kwa aajili yao.
0 maoni:
Chapisha Maoni