Mwanafunzi mmoja wa Kike wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam leo mchana muda
wa saa nane amekutwa amefariki akiwa amelala kitandani chumba cha
hostel, Inasemekana aliwaaga wenzake kuwa anakwenda kupumzika kidogo
baada ya vipindi, baada ya muda wenzake walimkuta kitandani akiwa
kashafariki
...
Jumamosi, 31 Mei 2014
TAZAMA PICHA EXCLUSIVE ZA RED CARPET YA SHOW YA DIAMOND HUKO HOUSTON MAREKANI
Unknown 13:39

Add caption
Add caption
Add captio...
Ijumaa, 30 Mei 2014
MAJIBU YA ZITTO BAADA YA KUHUSISHWA KUWANYONYA WASANII WA KIGOMA ALL STARS.
Unknown 07:09

Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA.
Leo tarehe 29 Mei, 2014 Msemaji wa
Kambi ya Upinzani kuhusu Habari, Michezo, Vijana na Utamaduni
amenituhumu kuhusika na kinachoitwa ufisadi katika Shirika la TANAPA na
NSSF.
Nasikitika kwamba katika hali niliyonayo ya kumwuguza mama yangu
naingizwa kwenye siasa...
Picha za mume wa msanii Recho, George Saguda akiwa na simanzi baada ya kumpoteza mkewe na mtoto
Unknown 07:01

Mume wa marehemu Recho, George Saguda,akiwa na simanzi nzito kufuatia kifo cha mkewe na mtoto.
Baadhi ya wasanii wa Bongo
Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za
msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho'
Msanii Rachel Haule katika enzi za uhai wa...
Mchawi kutoka Tanzania ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela nchini Kenya baada ya kumdanganya mama mmoja
Unknown 06:59

Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka
mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na
kumuibia shilingi milioni tisa.
Mchawi huyo alimhadaa mama huyo kuwa kwa kupitia njia za kichawi angeweza kuzifanya pesa hizo kuwa maradufu yaani milioni 18.
Bwana Amos Chipeta pia ataongezwa
kifungo cha miezi tatu kwa kupatikana...
Mtoto aliyekuwa amefichwa ndani ya boksi aanza kupumulia Mashine
Unknown 06:55

MTOTO Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne
mkoani Morogoro, sasa anaopumulia mashine katika Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili
.Nasra, alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,
alipohamishiwa Mei 26 mwaka huu kwa ajili ya uchunguzi zaidi akitokea
katika Hospitali ya mkoa wa Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari...
Jumatatu, 19 Mei 2014
Ajali yaua watano na kujeruhi 16 mlima Senkenke mkoani Singida
Unknown 01:15

WATU
watano wamekufa papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea
ajali ya barabarani iliyolihusisha gari dogo la abiria aina ya Toyota
Hiace eneo la Mlima Sekenke, wilayani Iramba kwenye Barabara Kuu ya
Singida -Mwanza.
Mganga
wa zamu katika Hospitali ya Wilaya ya Iramba, Dk Antony Mbulu, alisema
kuwa ajali hiyo ilitokea juzi saa 2:30 usiku...
Breaking News:Msanii wa Filamu, Adam Kuambiana afariki dunia
Unknown 01:14

Mwigizaji na Director wa filamu maarufu hapa nchini, Adam Kuambiana amefariki dunia
wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es
Salaam kwa matibabu alfajiri ya kuamkia leo.
Marehemu alianguka chooni
akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remy, Dar.
Kabla ya mauti kumfika,...
Daktari asahau kitambaa tumboni mwa Mgonjwa mkoani Tabora....Mgonjwa atolewa Kizazi na kukatwa sehemu ya Utumbo ili kukitoa kitambaa hicho
Unknown 01:14

Waziri wa Afya
MKAZI
wa wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Mwamini Adamu ametolewa mfuko wa
kizazi na kukatwa sehemu ya utumbo baada ya mganga wa idara ya upasuaji
katika wilaya hiyo kusahau kitambaa tumboni kwa mwanamama huyo wakati
akijifungua.
Kutokana
na kumsababishia ulemavu huo kwa uzembe, Mwamini ameifikisha
Halmashauri ya wilaya...
Picha za Nusu Uchi za Irene Uwoya akiwa Bafuni zasambaa Kwa Kasi ....
Unknown 01:09

Picha zinazodaiwa kuwa ni mpya za star wa filamu nchini Irene Uwoya
akiwa bafuni na taulo na picha nyingine akiwa ameondoa taulo kifuani na
kujiziba kwa mikono zimeanza kusambaa mitandaoni kwa kasi.
Uwoya alikuwa
kimya kidogo huku habari zake zikiendelea kutawala mitandaoni na
magazetini kama kawaida lakini kwa picha hizi inaonekana ametoa ishara ...
Meneja wa Ewura AJINYONGA kwa kutumia Tai hotelini baada ya kuhojiwa na Bunge....Polisi wasema hakupendezwa na maswali ya kamati ya Bunge
Unknown 01:02

Meneja Biashara wa Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na
Maji (Ewura) amekutwa amekufa hotelini katika mazingira ya kutatanisha
muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam akitoka Dodoma ambako
alihojiwa na Kamati ya Bunge ya Bajeti.
Meneja huyo, Julius Gashaza, ambaye alikuwa na
jukumu la kupanga bei za mafuta za kila mwezi, alihudhuria...