Jana June 9 Nay wa Mitego alisharehekea siku yake ya kuzaliwa ikiwa ni mwaka wake wa mafanikio zaidi katika muziki.
Nay
 ameweka wazi kuwa amefikisha umri wa miaka 29 na kwamba ameamua kufanya
 birthday party kwa mara ya kwanza tangu azaliwe, na pia 
amejinunulia zawadi ya gari la kifahari lenye thamani ya shilingi 
milioni 36. Kibongobongo ni pesa ndefu.
“Nimejinunulia gari aina ya Murano nafikiri ndio gari yangu 
ambayo leo ntakuwa nayo na ndio birthday yangu. Inagharimu milioni 36, 
hii ni ya mwaka 2007…bado mpya bado inadai. one love kwa mashabiki 
wangu.”








 
 
 
.jpg) 
 
 
 
 
.jpg) 
 
0 maoni:
Chapisha Maoni