Alhamisi, 12 Juni 2014

Soko la Karume lilivyoteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo



Hali ilikuwa tete usiku wa kuamkia leo katika mabanda ya Wamachinga eneo la Soko Karume , Ilala jijini Dar  baada ya kutokea moto mkuwa na kuteketeza mabanda yote ya wafanyabiashara eneo hilo. 
Fire walifika katika eneo la tukio na kuondoka baada ya kukubali kushindwa kuzima moto huo. Nguzo za umeme zimeungua pia.
 
Chanzo  cha  moto  huo kinadaiwa kuwa ni sehemu ya Mama ntilie ambao inasemekana huchemsha maharage na kuyaacha usiku ili yaive vizuri.

0 maoni:

Chapisha Maoni