Mwenyekiti
 wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba akizungumza na waandishi wa habari 
(hawapo pichani) juu ya Tamko kwa Vyombo vya Habari juu ya Chaguzi za 
Afrika Kusini na Malawi uliofanyika mapema huu. Mkutano huo wa waandishi
 wa habari ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi za Jukwaa La Katiba
 zilizopo Sinza Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti
 wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba akitia msisitizo juu ya Tamko kwa 
Vyombo vya Habari juu ya Chaguzi za Afrika Kusini na Malawi uliofanyika 
hivi karibuni.
Hali ya uchaguzi ilivyokuwa nchini Africa Kusini na Malawi ni kama ifuatavyo;
Picha 
inaonyesha mwanachama aliyevaa flana yenye nembo ya chama cha ANC cha 
Afrika Kusini siku ya uchaguzi.  Hii ni sawa na kupiga kampeini siku ya 
uchaguzi kitendo ambacho ni kinyume na sheria za
uchaguzi.
Picha 
inaonyesha wapiga kura nchini Malawi wakiwa kwenye foleni ya kupiga kura
 eneo la wazi ikimanisha jua na mvua vinaweza vikaathiri mchakato pia 
sehemu ya kupigia kura ipo kwenye ngazi kwahiyo siyo
mazingira rafiki kwa watu wenye ulemavu na wazee.







 
 
 
.jpg) 
 
 
 
 
.jpg) 
 
0 maoni:
Chapisha Maoni