Home »
» Kauli ya Profesa Jay Baada ya Diamond Kukosa tuzo za MTV MAMA
Diamond Platinumz alikuwa mshiriki kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za MTV
MAMA mwaka huu na kwa bahati mbaya hakushinda tuzo katika vipengele
vyote viwili alivyokuwa akiwania.
Msanii mkongwe Profesa Jay ambaye anakumbukwa kwa kufanya mapinduzi
kwenye muziki na kuwashawishi wazazi kuwaruhusu watoto wao kuimba
kupitia kazi zake, amemuandikia ujumbe Diamond kupitia Instagram.
“Hapo ulipofika tayari wewe ni Mshindi mkubwa na Unayeipeperusha juu
sana Bendera yetu ya TANZANIA, Wote tunaoitakia mema nchi yetu tuko
nyuma yako Mpaka kieleweke, Usife moyo Kwani hii ni dalili njema ya
kupata mafanikio zaidi na zaidi, Stay blessed and LET’S GO GET THEM!!!”
Related Posts:
Ajali yaua watano na kujeruhi 16 mlima Senkenke mkoani Singida
WATU
watano wamekufa papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea
ajali ya barabarani iliyolihusisha gari dogo la abiria aina ya Toyota
Hiace eneo la Mlima Sekenke, wilayani Iramba kwenye Barabara Kuu ya… Read More
Mtoto aliyekuwa amefichwa ndani ya boksi aanza kupumulia Mashine
MTOTO Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne
mkoani Morogoro, sasa anaopumulia mashine katika Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili
.Nasra, alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,
al… Read More
Picha za mume wa msanii Recho, George Saguda akiwa na simanzi baada ya kumpoteza mkewe na mtoto
Mume wa marehemu Recho, George Saguda,akiwa na simanzi nzito kufuatia kifo cha mkewe na mtoto.
Baadhi ya wasanii wa Bongo
Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa… Read More
Mchawi kutoka Tanzania ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela nchini Kenya baada ya kumdanganya mama mmoja
Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka
mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na
kumuibia shilingi milioni tisa.
Mchawi huyo alimhadaa mama huyo kuwa kwa kupitia njia… Read More
MAJIBU YA ZITTO BAADA YA KUHUSISHWA KUWANYONYA WASANII WA KIGOMA ALL STARS.
Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA.
Leo tarehe 29 Mei, 2014 Msemaji wa
Kambi ya Upinzani kuhusu Habari, Michezo, Vijana na Utamaduni
amenituhumu kuhusika na … Read More
0 maoni:
Chapisha Maoni