Diamond Platinumz alikuwa mshiriki kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za MTV
 MAMA mwaka huu na kwa bahati mbaya hakushinda tuzo katika vipengele 
vyote viwili alivyokuwa akiwania.
Msanii mkongwe Profesa Jay ambaye anakumbukwa kwa kufanya mapinduzi 
kwenye muziki na kuwashawishi wazazi kuwaruhusu watoto wao kuimba 
kupitia kazi zake, amemuandikia ujumbe Diamond kupitia Instagram.
“Hapo ulipofika tayari wewe ni Mshindi mkubwa na Unayeipeperusha juu 
sana Bendera yetu ya TANZANIA, Wote tunaoitakia mema nchi yetu tuko 
nyuma yako Mpaka kieleweke, Usife moyo Kwani hii ni dalili njema ya 
kupata mafanikio zaidi na zaidi, Stay blessed and LET’S GO GET THEM!!!”







 
 
 
.jpg) 
 
 
 
 
.jpg) 
 
0 maoni:
Chapisha Maoni