Jumanne, 10 Juni 2014

MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAZAZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM (TAIFA) AWAAPISHA WANACHAMA 367 WAPYA WA CCM WILAYA YA NYASA MKOANI RUVUMA


 Mwenyekiti  wa Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha mapinduzi CCM (Taifa) Bw. Abdallah  Bulembo aliyevaa taji shingoni akicheza ngoma ya asili katika kijiji cha Kingirikiti Wilaya ya Nyasa wakati wa Ziara yake siku ya jana.
 Kikundi cha akina mama  kikitoa burudani
 Hata watoto nao wanavutiwa na mikutano ya Chama Cha Mapinduzi
 Mwenyekiti  wa Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha mapinduzi CCM (Taifa) Bw. Abdallah  Bulembo akitoa kadi kwa mwanachama mpya wa CCM kata ya LUMEME kijiji cha KINGIRIKITI wilaya ya Nyasa, kwa wanachama 367 waliojiunga na chama hicho cha CCM
 Mwenyekiti  wa Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha mapinduzi CCM (Taifa) Bw. Abdallah  Bulembo akiwaapisha wanachama wapya wa  CCM
Wananchama wapya wa CCM wakiwa wamenyoosha kadi za Chama Cha Mapinduzi juu wakati wakiapa
Mwenyekiti  wa Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha mapinduzi CCM (Taifa) Bw. Abdallah  Bulembo akizungumza katika mkutano wa hadhara baada ya kuwaapisha wanachama wapya kijiji cha KINGIRIKITI kata ya LUMEME wilayani NYASA , Picha na kikosi cha Demashonews

0 maoni:

Chapisha Maoni