Jumanne, 10 Juni 2014

NSSF YAPIMA AFYA BURE KWA WAKAAZI WA MKOA GEITA


Kaimu Meneja wa Mafao ya Matibabu Dk. Lucy Simbila akizungumza kabla ya Kumkaribisha Mgeni Rasmi Kaimu Mganga Mkuu Mkoa wa Geita Dk. Ndinisyu Daniel (kushoto) kufungua zoezi hilo. Wengine ni Dr. Ali Mzige (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Bw.Shaban Mpendu, Meneja wa NSSF Mkoa wa Geita na Mwisho ni Regional Aids Control Cordinator (RACC), Elisande Shumbi.
wakazi wa Geita wakiwa wamejitokeza kwa wingi kupima Afya zao.
Meneja wa NSSF GEITA, Bw. Shaban Mpendu akimsikiliza kwa makini  Dr. All MZIGE akimuelezea  mgeni rasmi kaimu mganga mkuu wa Geita   DR.Ndinsyu Daniel zoezi la upimaji sukari kwenye moja ya banda la upimaji afya.
Meneja NSSF Geita bwana Shaban Mpendu akimuongoza mgeni Rasmi Kaimu Mganga Mkuu wa Geita  DR. Ndinisyu Daniel kutembelea mabanda ya upimaji afya.
Afisa Mwandamizi  Uendeshaji   Bi.Siaeli akiandikisha wanachama wapya waliojitokeza kujiandikisha kwenye kambi ya upimaji Afya.
Mmoja ya watu waliojitolea kutoa damu kwa hiyari baada ya kupima Afya kwenye kambi hiyo ya upimaji Afya
Mmoja wa Madaktari akimpima mkazi wa Geita Urefu na Uzito ili kutambua uwiano wa urefu kwa uzito na kujua hali ya kiafya (BMI)

0 maoni:

Chapisha Maoni