Jumanne, 22 Aprili 2014

"Hatuna mpango wa kurudi Bungeni tena....Tutakachokifanya ni kuzunguka mikoani ili `kushitaki’ kwa wananchi"..UKAWA

  LICHA ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuwa tayari kuzungumza na wajumbe wa Bunge hilo wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wajumbe hao wametangaza kutokuwa tayari kurudi mjini Dodoma kwa majadiliano ya aina yoyote.   Badala yake, umoja huo umetangaza kuendelea na dhamira ya kuzunguka katika mikoa mbalimbali...

TASWIRA KUTOKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akibadlishana mawazo Mjumbe wa Bunge hilo Rashid Mtuta (kushoto) leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi. Naibu Katibu wa Bunge Maalum ambaye ni Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Thomas Kashillah (mwenye...

TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA

Basi la abiria la Luhuye Express lenye namba za usajili T 410 AWQ baada ya kuacha njia na kugonga nyumba katika Kijiji cha Yitwimila 'A', wilayani Busega, Mkoa wa Simiyu jana asubuhi. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo iliyoua watu zaidi ya 10 na kujeruhi 30. Basi la abiria la Luhuye Express baada ya kupinduka. Baadhi...

SINTAH BANA KWA KUJICHETUA ETI LEO HII ANAMKUBALI WEMA SEPETU WAKATI ALIWAHI KUTAMKA KUWA HAMPENDI KAMA NINI KUMBE MNAFIKI TU:

Mmmh makubwa ya wakubwa waliompigia kura ndio hao wanamchambua huko insta, yaani Instagram ni ya kiswahili sana, nasubiri siku niamke nikute imefungwa, maana majority hawana kazi ya kufanya zaidi ya kufungua fake accounts na kutukana, wakiamka asubuhi before kupiga mswaki wanapitia pics za watu ili wajue cha kuwatukana hivi unafaidika nini yarabi?? kujiita...

HIVI NDIVYO WEMA ALIVYOKUFA NA KUOZA KWA DIAMOND PLATNUMZ, HAONI WALA KUSIKIA...CHEKI HAPA

Mapenzi Ni Kitu cha ajabu sana kiasi cha kufikia hata kumfanya mtu kuwa kama chizi au mwehu na kukubaliana na hali yoyote ilimradi apate tu PENZI. Hii imethibitika zaidi jana Baada ya Madame Wema Sepetu Kutupia picha mtandaoni akiwa na mpenzi wake Diamond Platnumz huku Diamond akiwa amechora tatoo yenye jina la mwanamke mwingine tofauti kabisa na Wema, kama...

Rais Kikwete amtumia salamu Waziri Mkuu kuomboleza kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa, Ndugu Moshi Chang’a.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda kuomboleza kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa, Ndugu Moshi Chang’a. “Ni kifo cha kusikitisha kwa sababu kimepunguza safu ya uongozi wetu na kimelinyang’anya taifa letu mhamasishaji hodari na mtetezi...

Alhamisi, 17 Aprili 2014

KIOJA KANISA LA GWAJIMA ,MAITI YAOMBEWA IFUFUKE, YAGOMA

Ndugu wa marehemu Elitha Kaizilege wakipeleka mwili wa ndugu yao kanisani kwa ajili ya maombi. Haruni Sanchawa na Gabriel Ng’osha HIKI ni kioja! Ndugu wa marehemu Elitha Kaizilege ambaye alipatwa na mauti katika Hospitali ya Kairuki iliyopo Mikocheni jijini Dar wiki iliyopita, walifanya tukio la aina yake baada kutokukubali kama ndugu yao amefariki.Ndugu...

DIAMOND AINGIA KWENYE NOMINATION CATEGORY MBILI MTV AFRICA MUSIC AWARDS

Thursday, 17 April 2014 Nomination za MTV Africa music awards kwa mwaka 2014 zimetoka huku Mafikizolo,Uhuru na Davido wakiongoza kwa kupata nomination 4. Watanzania wapo kwenye vipengele vitatu na moja ya vipengele hivyo vinasubiliwa kwa hamu kumjua mshindi kwasababu ni moja ya vipengele vikubwa kwenye awards hizo. Best Male Anselmo Ralph (Angola) Davido...

TAZAMA PICHA,LULU AKIWA NA BIBI YAKE UONE WALIVYOFANANA

Thursday, 17 April 2014 LULU MICHAEL NA BIBI YAKE Mwigizaji maarufu na wa filamu na maigizo ya kibongo Lulu amepiga picha hiyo na bibi yake  mzaa mama baada ya  bibi huyo kuja dar es salaam kumtembelea mwanae {mama wa lulu} na wajukuu zake. Eti wanafanana toa maoni yako hapo chini   Credit: Bongoclan...

HAWA NDIO MASTAA 20 WENYE USHAWISHI ZAIDI NCHINI TANZANIA. WEMA ASHIKA NAMBA 1. SOMA HAPA

Thursday, 17 April 2014 Wakati mwingine si kitu rahisi kupima ushawishi lakini tutaangalia ni wazo mawazo gani ya mtu, mifano gani ya mtu, kipaji gani cha mtu na ugunduzi gani wa mtu uliobadilisha jambo katika nchi yetu. Hawa ndio mastaa 20 wa burudani, michezo na urembo Tanzania wenye ushawishi mkubwa zaidi 1. Wema Sepetu Well, well, well kunaweza kukawa...

MJINI KUNA MAMBO,ETI MSANII JUX ASADIKIKA KUWA FREEMASONRY~ USHAHID HUU HAPA

Thursday, 17 April 2014 Karne hii watu maarufu wamekuwa wakijiweka wazi kukiri kujiunga katika jumuiya ya watu wanaomwabudu shetani "Freemason" kama Jay z, Kanye West, Drake, Lady Gaga na wengine kibao kwa minajili ya kujipatia utajiri na umaarufu na ndipo hata siri zao zimekuwazikivuja siku hadi siku. Mingoni mwa siri zao hizo ni...

TAZAMA PICHA ZA VAZI JIPYA LILILOBUNIWA NA MBUNIFU WA MAVAZI,MTANZANIA MISSY TEMEKE

MISSY TEMEKE Missy Temeke  wa kwetu fashion,siyo jina geni kwenye tasnia ya urembo na fashion.ni Mwanadada mrembo aishie nchini Marekanianayejihusisha zaidi na ubunifu wa  mavazi yenye mwonekano wa kitanzania na kiafrika chini ya label yake ya KWETU FASHION. .ametoa collection mpya ya vazi Lenye...

MVUA ZAHARIBU RELI YA DSM-TANGA-MOSHI.

Sehemu ya njia ya reli katika eneo la Ming’ongo ikiwa inaning’inia baada ya tutakusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali nchini Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipalo Amani Kisamfu pamoja na wakurugenzi kutoka Wizara ya Uchukuzi wametembelea eneo hilo leo mchana kuona athari kubwa...

EXCLUSIVE:YANI KAMA HAUJAJIUNGA INSTAGRAM UNAKOSA UHONDO KINOMA,TAZAMA HAMISA MOBETO NA YEYE AAMUUA KUPOST PICHA ZA UTATA, YANI NI FULL SHIDAH KWA VIDUME VYA MBEGU

Mwanadada Hamisa Mobeto amejikuta akipost picha hizi katika mtandao wa  Instagram baada ya kuonyesha mapenzi ya dhati kwa huyu model,  zicheki picha zenyewe hapo chini ...

BINTI WA KIBONGO MWANA CHUO ASABABISHA MZUNGU KUFUKUZWA KAZI

Raia mmoja wa nchini Finland amejikuta katika wakati mgumu sana baada ya kushindwa kufanya lolote kazini alipoajiriwa baada ya kutaka kuwa katika mahusiano na mwanadada huyu wa chuo kikuu cha Dar es salaam ambaye alimteka akili kiasi cha kumfanya Mzungu huyo kuwa anashinda chuoni kutwa nzima kubembeleza akubaliwe jambo lililomsababishia aache kuhudhuria kazini...

MAKALIO YA MWALIMU WA SEKONDARI YASABAISHA WANAFUNZI WA KIUME KUSHINDWA KUSOMA WAZAZI WAOMBA AONDOLEWE ILI KUWANUSURU WANAFUNZI HAO

Mtandao huu umetumiwa picha hii ya mwalimu wa shule moja ya Sekondari iliyopo Mkoani Kagera vijijini ambae amelalamikiwa na wazazi kufuatia wanafunzi wa shule hiyo kushindwa kusoma vizuri kisa makalio yake makubwa ambayo kipindi akiwa anaandika somo ubaona huku nyuma yakitikisika kwa staili ya kipekee. Kwa mujibu wa mzazi huyo ambae alimvizia dada huyo akiwa...

INASIKITISHA ,MWANAMKE AGONGWA NA DALADALA URAFIKI JIJINI DAR ES SALAAM.

MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa ni mkazi wa Dar leo asubuhi aligongwa na gari aina ya Toyota Coaster inayofanya shughuli za daladala kwenye barabara za Morogoro jijini Dar es Salaam. Ajali hiyo ilitokea eneo la Urafiki jijini Dar es Salaam. Walioshuhudia tukio walisema majeruhi huyo alikuwa katikati ya barabara mbili...