
LICHA
ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuwa tayari
kuzungumza na wajumbe wa Bunge hilo wanaounda kundi la Umoja wa Katiba
ya Wananchi (UKAWA), wajumbe hao wametangaza kutokuwa tayari kurudi
mjini Dodoma kwa majadiliano ya aina yoyote.
Badala
yake, umoja huo umetangaza kuendelea na dhamira ya kuzunguka katika
mikoa mbalimbali...