Jumatano, 16 Aprili 2014

Picha za Rais Kikwete alipohani Msiba wa Muhidin Maalim Gurumo Ubungo Makuburi jana jioni

4/16/2014 

Mmoja wa wana familia Bw. Salim Zagar akitoa taarifa fupi ya msiba wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo pamoja na mazishi yake kwa Mhe. Rais Jakaya M. Kikwete (picha: IKULU)
Rais Kikwete akimfariji mjane wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo (mwenye shuka nyeupe) na wanafamilia alipokwenda kuhani msiba huo Ubungo Makuburi   jana jioni ya  April 15, 2014, siku ambayo marehemu alizikwa kijijini kwao Masaki, Kisarawe, Mkoa wa Pwani.
Rais Kikwete pole Bw. Abdallah Muhidin Gurumo, mtoto wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo na wanafamilia alipokwenda kuhani
Rais Kikwete Bw. Omar Muhidin Maalim Gurumo na wanafamilia alipokwenda kuhani
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Muziki wa dansi Bwana Brighton akimshukuru Rais Kikwete kwa kwenda kutoa pole ya msiba huo.

0 maoni:

Chapisha Maoni