Jumapili, 13 Aprili 2014

HATIMAYE MSHINDI WA REDS MISS UDOM APATIKANA,KAMATI YA MISS TANZANIA YATOA PONGEZI, LUNDENGA KUTOA SALUTI KWA WAANDAAJI:


Mshindi Sophia Masei akiwa na katika Picha ya pamoja na mshindi wa pili kushoto Panieli Reonald na mshindi wa tatu kulia Nai Mkwavii mara baada ya kutangazwa ka matokeo hayo usiku wa kuamkia leo pale katika ukumbi wa Kilimani Landmark Dodoma


Twanga Pepeta walikuwepo kusindikiza Fainali za mashindano hayo katika Ukumbi wa Kilimani Landmark Dodoma


Jopo la Majaji waliotoa maauzi ya kumata mshindi wa Reds Miss UDOM 2014






Mshindi wa Miss UDOM mwaka jana alikuwepo kumvisha taji Mshindi wa Mwaka huu






















Meneja wa Makampuni ya Shabiby Bus Service David akikabidhi zawadi ya Pesa Taslimu za Kitanzania kwa Mshindi wa Kwanza wa Reds Miss UDOM 2014 Sophia Masei


Waandaji wa Mashindano hayo pamoja na Wadhamini wakiwa katika picha ya pamoja na Warembo mara baada ya kutangazwa mshindi
Tazama picha zaidi






Washindi katika pozi la pamoja






CTD:Bossngasa.com

0 maoni:

Chapisha Maoni