Mwenyekiti wa Bunge 
Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akibadlishana mawazo Mjumbe wa 
Bunge hilo Rashid Mtuta (kushoto) leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa 
kikao cha asubuhi.
|  | 
Naibu Katibu wa Bunge 
Maalum ambaye ni Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
 Thomas Kashillah (mwenye miwani) akibadlishana mawazo na Wajumbe wa 
Bunge Maalum la Katiba leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha 
asubuhi.
Wajumbe wa Bunge Maalum 
la Katiba wakiwasili katika ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma kwa ajili 
ya kuendelea na mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya 
Rasimu ya Katiba mpya.
Wajumbe wa Bunge Maalum 
la Katiba Profesa Costa Mahalu (kushoto) na Profesa Mark Mwandosya 
(kulia) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma kabla ya kuanza mjadala 
kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti wa Bunge 
Maalum la Katiba Samuel Sitta akiwasili kwenye ukumbi wa Bunge kwa ajili
 kuendesha na kusimamia mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na 
Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao
 cha asubuhi.
Mwenyekiti wa Bunge 
Maalum la Katiba Samuel Sitta akiongoza dua ya kuliombea Bunge na Taifa 
kabla ya kuanza mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya 
Rasimu ya Katiba mpya.leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha 
asubuhi.
Mwenyekiti wa Bunge 
Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Bunge hilo
 leo mjini Dodoma wakati wa mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza 
na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.
Wajumbe wa Bunge Maalum 
la Katiba wakishiriki dua ya kuliombea Bunge hilo leo mjini Dodoma kabla
 ya kuanza mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu 
ya Katiba mpya. picha na Bunge Maalum la Katiba-Dodoma.















 
 
 
.jpg) 
 
 
 
 
.jpg) 
 
0 maoni:
Chapisha Maoni