Alhamisi, 17 Aprili 2014

TAZAMA PICHA ZA VAZI JIPYA LILILOBUNIWA NA MBUNIFU WA MAVAZI,MTANZANIA MISSY TEMEKE



MISSY TEMEKE
Missy Temeke  wa kwetu fashion,siyo jina geni kwenye tasnia ya urembo na
fashion.ni Mwanadada mrembo aishie nchini Marekani
anayejihusisha zaidi na ubunifu wa  mavazi yenye mwonekano wa
kitanzania na kiafrika chini ya label yake ya KWETU FASHION.
.ametoa collection mpya ya vazi Lenye mwonekano wa kiafrica..
SOURCE


MAMODO WA KWETU FASHION WAKIONYESHA
VAZI ALILOBUNI ,MISSY TEMEKE




0 maoni:

Chapisha Maoni