Jumanne, 22 Aprili 2014

HIVI NDIVYO WEMA ALIVYOKUFA NA KUOZA KWA DIAMOND PLATNUMZ, HAONI WALA KUSIKIA...CHEKI HAPA


Mapenzi Ni Kitu cha ajabu sana kiasi cha kufikia hata kumfanya mtu kuwa kama chizi au mwehu na kukubaliana na hali yoyote ilimradi apate tu PENZI. Hii imethibitika zaidi jana Baada ya Madame Wema Sepetu Kutupia picha mtandaoni akiwa na mpenzi wake Diamond Platnumz huku Diamond akiwa amechora tatoo yenye jina la mwanamke mwingine tofauti kabisa na Wema, kama unavyoona hapo kwenye picha mkononi inasomeka "SANDRA". 
Bila shaka tutafanya uchunguzi wa kina na kukuletea majibu kamili kuhusiana na Mwanamke huyu Sandra ambaye bado Diamond anamficha.

0 maoni:

Chapisha Maoni