 Mapenzi Ni Kitu cha ajabu sana kiasi cha kufikia hata kumfanya mtu kuwa
 kama chizi au mwehu na kukubaliana na hali yoyote ilimradi apate tu 
PENZI. Hii imethibitika zaidi jana Baada ya Madame Wema Sepetu Kutupia 
picha mtandaoni akiwa na mpenzi wake Diamond Platnumz huku Diamond akiwa
 amechora tatoo yenye jina la mwanamke mwingine tofauti kabisa na Wema, 
kama unavyoona hapo kwenye picha mkononi inasomeka "SANDRA".
 Mapenzi Ni Kitu cha ajabu sana kiasi cha kufikia hata kumfanya mtu kuwa
 kama chizi au mwehu na kukubaliana na hali yoyote ilimradi apate tu 
PENZI. Hii imethibitika zaidi jana Baada ya Madame Wema Sepetu Kutupia 
picha mtandaoni akiwa na mpenzi wake Diamond Platnumz huku Diamond akiwa
 amechora tatoo yenye jina la mwanamke mwingine tofauti kabisa na Wema, 
kama unavyoona hapo kwenye picha mkononi inasomeka "SANDRA". 
Bila shaka tutafanya uchunguzi wa kina na kukuletea majibu kamili 
kuhusiana na Mwanamke huyu Sandra ambaye bado Diamond anamficha.






 
 
 
.jpg) 
 
 
 
 
.jpg) 
 
0 maoni:
Chapisha Maoni