Jumanne, 22 Aprili 2014

SINTAH BANA KWA KUJICHETUA ETI LEO HII ANAMKUBALI WEMA SEPETU WAKATI ALIWAHI KUTAMKA KUWA HAMPENDI KAMA NINI KUMBE MNAFIKI TU:


Mmmh makubwa ya wakubwa waliompigia kura ndio hao wanamchambua huko insta, yaani Instagram ni ya kiswahili sana, nasubiri siku niamke nikute imefungwa, maana majority hawana kazi ya kufanya zaidi ya kufungua fake accounts na kutukana, wakiamka asubuhi before kupiga mswaki wanapitia pics za watu ili wajue cha kuwatukana hivi unafaidika nini yarabi?? kujiita Team mavimavi na Team ujinga, like pic n comment where necessary usipojisikia kausha sasa matusi ya nini
hilo shindano lilikuwa wazi, wanaadam ndio wamepiga kura sasa kama kashinda kuna ubaya? after all katika mashindano lazima atokee mshindi tupende tusipende, waandaji walitoa nafasi kwa wasomaji kuchagua wanaomuona bora na wakamchagua sasa ubaya wa nini kumnanga ooh hakustahili nyie si ndio wapiga kura sasa makelele ya nini khaaaa
katika hilo shindano Wema alikuwa anashindana na Wolper,Lulu,Nelly,Jokate na Wema kuibuka mshindi
 mie ndio mtazamo wangu je wewe??

0 maoni:

Chapisha Maoni